Future Bishop
Member
- Dec 4, 2009
- 75
- 15
Kutokana na mgawo wa umeme uliotangazwa na hali halisi inavyoendelea, nalazimika kununua genereta kwa ajili ya biashara ya internet cafe na secretarial services niliyonayo Arusha.
Vifaa nilivyonavyo vinavyohitaji umeme
1. Photocopy machine Canon IR 1018
2. Computer desktop 5 na 1 laptop moja
3. Printer laser P1005
4. Scanner
5. D-link kwa ajili ya network
5. Kila computer ina UPS
Naomba msaada wa mawazo juu ya aina gani ya Genereta na yenye nguvu kiasi gani ya kununua itakayokidhi mahitaji yangu hapo juu.
Kwa wanaofahamu bei zake especially kwa Arusha nitafurahi kujulishwa.
Natanguliza shukrani.
Vifaa nilivyonavyo vinavyohitaji umeme
1. Photocopy machine Canon IR 1018
2. Computer desktop 5 na 1 laptop moja
3. Printer laser P1005
4. Scanner
5. D-link kwa ajili ya network
5. Kila computer ina UPS
Naomba msaada wa mawazo juu ya aina gani ya Genereta na yenye nguvu kiasi gani ya kununua itakayokidhi mahitaji yangu hapo juu.
Kwa wanaofahamu bei zake especially kwa Arusha nitafurahi kujulishwa.
Natanguliza shukrani.