Wadau naombeni msaada wenu,mimi nimesoma nje nchini Uingereza elimu yangu ya kuunga unga nikapata foundation degree in business management,ambapo ningekua na nguvu ya kuendelea kusoma kule ninge top up a final year ya bachelor!ila nimerudi hapa nyumbani nimejaribu kutafuta kazi nimekosa,na sasa nimejaribu ku apply st augustine uni ili nisome angalau diploma ya procurement ila wameniambia hawawezi kunikubalia mpaka vifanyiwe equivalent na elimu yetu,sasa naomba kujua kwa mwenye kujua,je equivalent hiyo nitaweza kuifanyia wapi?asanteni wadau