Dokta kasemajeAsante nimeshamuona
kwa siku unaoga Mara ngapi? staphylococcus wamekurudia we mwenyew tumia gentrisone cream kuondoa hiyoVipele sehem za siri.
Haviumi wala kuwasha vina mwezi sasa nashndwa kuvielewa vimetokana.ni vigum gum ivi naombeni msaada
Mkuu vipi na kwa watoto wadgokwa siku unaoga Mara ngapi? staphylococcus wamekurudia we mwenyew tumia gentrisone cream kuondoa hiyo
Muone dakitariVipele sehem za siri.
Haviumi wala kuwasha vina mwezi sasa nashndwa kuvielewa vimetokana.ni vigum gum ivi naombeni msaada
tena kwa watoto huwa inatokea zaidi kuliko hata kwa watu wazimaMuone dakitari
Huyo jamaa amuone dk... Kajichafuatena kwa watoto huwa inatokea zaidi kuliko hata kwa watu wazima
tiba- gentrisone cream,tetmosal medicated soap, kisha nguo zote za mgonjwa zilowekwe kwa dettol usiku na kufuliwa asubuhi then mgonjwa ashauriwe kuhusu usafi kama ni mtoto inatakikana aogeshwe kutwa Mara 3 yaani asubuhi anapoamka SAA 6 mchana kabla ya chakula cha mchana na jioni kabla ya kulala