morning
jamani asante kwa msaada ukweli nilikuwa nafikiria kumwambia kuwa siwezi kuendelea kuwa naye. na kingine huyo demu niliyekuwa naye hanitegemei kwa lolote maana kama kazi anayo kazi yake nzuri na ameshajijenga vizuri tuu so i dont think if she want to kunichuna mimi.
haya hebu nielezeni wana jamii nianzaje kumwambia kuwa mimi na yeye basi maana yeye yupo nje ya tanzania je nimuite anifuate ndo nimwambie, na alishawahi kutaka kuja mahali mimi nipo nikamkatalia yaani ahamie kabisa tanzania mimi nikamwambia hapana asubiri mpaka mimi nitakapo sema, nipe ushauri jamani!!!!!!!!!
Upo right sana huyu jamaa hampendi huyu mama,kuhusu kuridhishana napo kunatokana na hukohuko kutokumpenda,kama kweli anampenda wangekaa pamoja na wangejua ni vipi wataridhishana,lakini hii inaonyesha kuwa huyu jamaa yupo after something and not love,haiwezekani aseme mwanamke ndio anampenda yeye sana,kama huyo dada atayasikia haya azinduke mapema na kuachana na huyu bwana!!Wee kaka, tafadhali sana for heaven's sake kaa chini na huyo dada mueleze kwa utaratibu na kila mtu achukue ustaarabu. hivyo ulivyoabnza tu hakuna ndoa hapo zitakuwa frustrations kwenu ninyi wote.
Halafu its open humpendi maana unasema yeye ndo anakupenda sana na wewe tayari una kifaa kingine. mwache dada wa watu kwa ustaarabu usimpotezee muda, najua itamuuma lakini its for the best. you dont deserve her.
as usual always kuna kidumu pembeni, wanaume bwana,yani mtu akishapata mwanamke mwingine huko nje anaanza malalamiko ooh, haniridhishi, ooh simpendi sana. grow up.
nikimfuata si ndo atanililia mpk basi jamani maana ndugu zake walishaniambia kuwa toka amekuwa na mimi ametulia so nisimkoseshe raha sasa nitafanyaje na je si anaweza kucomiti suicide nikiwepo then si nitapata mada kesi jamani
kimey sikia hata kama yeye hapati raha mimi napata raha isiyo kuwa na kifani na ukweli siwezi kupitisha siku bila kufanya na mapenzi isipokuwa simba wakiwa uwanjani huwa hatufanyi. Na pia nilishamchukia mpenzi wangu na hata tukilala wote siwezi kufanya naye mapenzi zaidi ya kukumbatiana na wala jogoo hawiki.
morning
jamani asante kwa msaada ukweli nilikuwa nafikiria kumwambia kuwa siwezi kuendelea kuwa naye. na kingine huyo demu niliyekuwa naye hanitegemei kwa lolote maana kama kazi anayo kazi yake nzuri na ameshajijenga vizuri tuu so i dont think if she want to kunichuna mimi.
habari za jioni wana blog ya jamii, nipo hapa kuomba msaada kuna kitu kina nisumbua mimi niko na demu ambaye ni mchumba wangu ila tatizo ni kwamba tukiwa kwenye tendo lile la baba na mama (tendo la ndoa) hata hakati kiu yangu hali kadhalika kwake hata mimi sikati kiu yake, nimeshataka kuachana naye ila napewa ushauri kuwa kila kitu kitakuja kukaa sawa kadri tunavyokwenda na tumeshakaa muda wa miaka 3 na wengine wanasema ndoa sio kufanya mapenzi ila mimi naamini ndoa ni tendo maana kama simridhishi ina maana tukija kuwa mke na mume atakwenda nje ya ndoa kutafuta mtu atakaye mkata kiu yake. naombeni ushauri wadau ila yeye demu ananipenda sana na wakati huo huo niko na demu mwingine ananifurahisha kinoma na yeye anafurahishwa na mimi kwa kwenda mbele na nina mpenda kuliko mchumba wangu. Je nifanyeje?????????????????? nipo njia panda
Welcome but dont smile devishly when near mecarmel???????
U r turning me on big time,