msaada tutani

wewe unaonekana malaya tuuu!!!!! utakuwaje na mchumba halafu uwe na demu pembeni????? HIV+ Is Knocking! Ngo! ngo! Ngo!
 
morning
jamani asante kwa msaada ukweli nilikuwa nafikiria kumwambia kuwa siwezi kuendelea kuwa naye. na kingine huyo demu niliyekuwa naye hanitegemei kwa lolote maana kama kazi anayo kazi yake nzuri na ameshajijenga vizuri tuu so i dont think if she want to kunichuna mimi.
 
morning
jamani asante kwa msaada ukweli nilikuwa nafikiria kumwambia kuwa siwezi kuendelea kuwa naye. na kingine huyo demu niliyekuwa naye hanitegemei kwa lolote maana kama kazi anayo kazi yake nzuri na ameshajijenga vizuri tuu so i dont think if she want to kunichuna mimi.

wewe utakuwa na matatizo, halafu inaonyesha huko ulikopata pamoja na kuridhishwa umempenda kwa sababu ni financial stabel, kwa hiyo hatakusumbua kwa lolote kila kitu atajitegemea. huyo unayenuita mchumba wako mwambie ukweli usiendelee kumpotezea muda wala kumharibia maisha yake.
 
haya hebu nielezeni wana jamii nianzaje kumwambia kuwa mimi na yeye basi maana yeye yupo nje ya tanzania je nimuite anifuate ndo nimwambie, na alishawahi kutaka kuja mahali mimi nipo nikamkatalia yaani ahamie kabisa tanzania mimi nikamwambia hapana asubiri mpaka mimi nitakapo sema, nipe ushauri jamani!!!!!!!!!
 
haya hebu nielezeni wana jamii nianzaje kumwambia kuwa mimi na yeye basi maana yeye yupo nje ya tanzania je nimuite anifuate ndo nimwambie, na alishawahi kutaka kuja mahali mimi nipo nikamkatalia yaani ahamie kabisa tanzania mimi nikamwambia hapana asubiri mpaka mimi nitakapo sema, nipe ushauri jamani!!!!!!!!!

utaanzaje? mfuate umwambie uso kwa uso mambo ya msg, e- mail achana nayo na umpe sababu na umwambie una mtu mwingine na umuombe msamaha kwa kumpotezea muda, na ikiwezeka ulipe gharama za usumbufu na kupoteza muda wake. maana najua kipindi yuko na wewe aliwakataa watu wengi kwa ajili yako. Halafu ukome huyo ndo awe wa mwisho kumchezea usirudie kwa mtu mwingine, watu wengine wana hasira zao , kama hujageuzwa fisi ukimbilie mapangoni
 
nikimfuata si ndo atanililia mpk basi jamani maana ndugu zake walishaniambia kuwa toka amekuwa na mimi ametulia so nisimkoseshe raha sasa nitafanyaje na je si anaweza kucomiti suicide nikiwepo then si nitapata mada kesi jamani
 
Wee kaka, tafadhali sana for heaven's sake kaa chini na huyo dada mueleze kwa utaratibu na kila mtu achukue ustaarabu. hivyo ulivyoabnza tu hakuna ndoa hapo zitakuwa frustrations kwenu ninyi wote.
Halafu its open humpendi maana unasema yeye ndo anakupenda sana na wewe tayari una kifaa kingine. mwache dada wa watu kwa ustaarabu usimpotezee muda, najua itamuuma lakini its for the best. you dont deserve her.
as usual always kuna kidumu pembeni, wanaume bwana,yani mtu akishapata mwanamke mwingine huko nje anaanza malalamiko ooh, haniridhishi, ooh simpendi sana. grow up.
Upo right sana huyu jamaa hampendi huyu mama,kuhusu kuridhishana napo kunatokana na hukohuko kutokumpenda,kama kweli anampenda wangekaa pamoja na wangejua ni vipi wataridhishana,lakini hii inaonyesha kuwa huyu jamaa yupo after something and not love,haiwezekani aseme mwanamke ndio anampenda yeye sana,kama huyo dada atayasikia haya azinduke mapema na kuachana na huyu bwana!!
 
nikimfuata si ndo atanililia mpk basi jamani maana ndugu zake walishaniambia kuwa toka amekuwa na mimi ametulia so nisimkoseshe raha sasa nitafanyaje na je si anaweza kucomiti suicide nikiwepo then si nitapata mada kesi jamani

Bwana sisi tumeshakushauri kama hata kutekeleza unashidwa shauri yako waoe wote wawili,
 
kimey sikia hata kama yeye hapati raha mimi napata raha isiyo kuwa na kifani na ukweli siwezi kupitisha siku bila kufanya na mapenzi isipokuwa simba wakiwa uwanjani huwa hatufanyi. Na pia nilishamchukia mpenzi wangu na hata tukilala wote siwezi kufanya naye mapenzi zaidi ya kukumbatiana na wala jogoo hawiki.


Hapa umekuwa mwazi kidogo. Huyu mdada humpendi/umemchoka ila unatafuta justification ya kumuacha which is not the proper way ya kufanya. Kwa taarifa yako 'bucha zote nyama ni ile ile' ungezunguzia mabadiliko ya tabia kidogo ningekuelewa. Swala la jogoo kuamka linauhusiano sana mawazo ulionayo kuhusu huyo dada (cycological issue) hii iko proved kitaalamu. Ukiwa humpendi mwenzako/umemchoka jogoo halishtuka piga uwa, labda kwa pedo (handling) Hata huyo unaemfagilia kwa sasa ukishamchoka mambo yatakuwa hayo hayo tu. Mwenye tatizo hapa ni wewe ni si huyo dada unayemsema ushauri wangu ni ukae na utafakari kwa kina na umuombwe Mungu akuasaidie katika kumpat mwenzi wa kukufaa katika maisha.
 
morning
jamani asante kwa msaada ukweli nilikuwa nafikiria kumwambia kuwa siwezi kuendelea kuwa naye. na kingine huyo demu niliyekuwa naye hanitegemei kwa lolote maana kama kazi anayo kazi yake nzuri na ameshajijenga vizuri tuu so i dont think if she want to kunichuna mimi.

Kwanza unaonyesha mapenzi huyafahamu vizuri... Mapenzi hayafuati pesa, elimu,nk. Kama wewe umempendea pesa huyo demu je pesa zikimuishia utamuacha utafute mwingine mwenye pesa? PESA HUJA NA KUPOTEA UKAE UKIJUA, ILA MAPENZI YA KWELI YASIYOJALI PESA HUWA YANADUMU EIDHA PESA ZIPO AU HAZIPO. Je wewe ukifahamu demu anakupenda kwa sababu una pesa utafurahi, na wakati mambo ya pesa kuna kesho.....
 
Haya ndio madhara ya kutest test na kukosa uaminifu.Mimi nakushauri achana na ufisadi wa mapenzi haraka sababu utakuja juta baadae.huyo wa pili hata kama ukimuoa kwa tabia yako utakuja kumuacha siku utapotest mwingine na kuona ni mtamu zaidi na yeye ushamchoka.Lakini kumbuka what goes around comes around(na wewe yatakuja kukupata kama hayo).acha kupotezea wenzio muda uwe na mapenzi ya dhati.
 
habari za jioni wana blog ya jamii, nipo hapa kuomba msaada kuna kitu kina nisumbua mimi niko na demu ambaye ni mchumba wangu ila tatizo ni kwamba tukiwa kwenye tendo lile la baba na mama (tendo la ndoa) hata hakati kiu yangu hali kadhalika kwake hata mimi sikati kiu yake, nimeshataka kuachana naye ila napewa ushauri kuwa kila kitu kitakuja kukaa sawa kadri tunavyokwenda na tumeshakaa muda wa miaka 3 na wengine wanasema ndoa sio kufanya mapenzi ila mimi naamini ndoa ni tendo maana kama simridhishi ina maana tukija kuwa mke na mume atakwenda nje ya ndoa kutafuta mtu atakaye mkata kiu yake. naombeni ushauri wadau ila yeye demu ananipenda sana na wakati huo huo niko na demu mwingine ananifurahisha kinoma na yeye anafurahishwa na mimi kwa kwenda mbele na nina mpenda kuliko mchumba wangu. Je nifanyeje?????????????????? nipo njia panda

Kumbe una wanawake wawili, sasa unauliza nini hapa? Kama unataka kumhalalisha huyo ambaye si mchumba wako, si lazima uje kumpamba hapa ati kupata justification!
 
Mkubwa unajuwa mapenzi ni ujanja na utaalam wako wewe mwenyewe tu.....Hapo wewe mwenyewe tuu............Muonyeshe kama unaweza kuna njia nyingi sana za kuweka kumteka mwanamke...........ila inategemea na mtu au mwanamke......So jaribu kumuonyesha kama unaweza!!
 
Chickdee so nyie mkiwa uwanjani kazi yenu kutoana jasho tu? lol hiyo inashangaza sana, tena mpe fursa mapema atapata atakaemridhisha km ww ulivopata wa kukuridhisha! sjui unapenda nn chickdee mpaka huyo bado hawezi kukuridhisha for 3 yrs au una interest tofaut? weka wazi bana
 
Back
Top Bottom