Maganga Mkweli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2009
- 2,089
- 829
nina dogo amemaliza form six 2011 atokeo yametoka amefaulu pcm division 1.5 sasa anaomba ushuri yeye anapenda kusoma telecoms eng. Mimi ningependa asome electrical engineer kwa sababu chahe nilizonazo kwanza ni flexiblity ya electrical engineering kimtazamo wa kwangu telecom imesaturate kwenye job market naomba msaada wa mawazo wadau mchango wako ni muhimu kwani wengi wetu tunaenda vyuoni kwa mob influence