Passion Lady
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 8,688
- 4,633
Ndio ushaingia kwny ndoa bibie,cha kufanya mshauri akawaone wataalamu,apate matibabu!
utaolewaje na mzee wa miaka 34, tafuta na wewe kijana mwenzio
Ndio ushaingia kwny ndoa bibie,cha kufanya mshauri akawaone wataalamu,apate matibabu!
Nifanye nini nitoke kwenye ukungu ...mimi mwenzenu ninagundu.
hahahahaaaaa!!!! oh my d..!Masikini wee hasira za ny..ge ni zaidi ya maudhi !
mwambie mumeo aache kula vichwa vya kuku na samaki! hii nayo inaharibu sana!Mimi ni mwanamke mwenye Umri wa Miaka 26,
Siku akijitahidi tuna have sex lakini anakuwa kama Kuku dakika tatu kashamaliza.
utaolewaje na mzee wa miaka 34, tafuta na wewe kijana mwenzio