JOYCE PAUL
JF-Expert Member
- Jan 8, 2010
- 1,005
- 82
Nilinunua hisa za precision air mwaka 2011 walipotangaza kuziuza kwa mara ya kwanza. Ila mpaka leo sijawahi pata barua yoyote wala kuwasikia hawa precission air na sijui naanzia wapi ili nijue kama nina faida au imekula kwangu? Msaada tafadhari kwa anayejua.nawatakia kazi njema