Msaada: Tumbo linauma wakati nakaribia muda wa chakula

uludodi

JF-Expert Member
May 23, 2014
574
913
Naomba msaada JF DOCTOR tatizo la tumbo linaniuma sana unapokaribia mda wa chakula mfano saa 5 asubuhi linaanza mpaka nile ndio linatulia na jioni linaanza mida ya saa 12.

Nimepima sana na napewa dawa linaacha kama miezi miwili halafu linaanza tena msaada naomba kama kuna ufumbuzi nitumie dawa gani?
 
Naomba msaada JF DOCTOR tatizo la tumbo linaniuma sana unapokaribia mda wa chakula mfano saa 5 asubuhi linaanza mpaka nile ndio linatulia na jioni linaanza mida ya saa 12.

Nimepima sana na napewa dawa linaacha kama miezi miwili halafu linaanza tena msaada naomba kama kuna ufumbuzi nitumie dawa gani?
Umeanza lini kuhisi maumivu hayo!? Maumivu tu!? Au kuna kingine kina ambatana na Maumivi!?

Vipi umewahi kuhisi ni vidonda vya tumbo!?
 
Umeanza lini kuhisi maumivu hayo!? Maumivu tu!? Au kuna kingine kina ambatana na Maumivi!?

Vipi umewahi kuhisi ni vidonda vya tumbo!?
nikipima wanasema sio vidonda ila tatizo dogo naandikiwa dawa natumia vizuri. Ila baada ya miezi 2-3 linaanza tena
 
Naomba msaada JF DOCTOR tatizo la tumbo linaniuma sana unapokaribia mda wa chakula mfano saa 5 asubuhi linaanza mpaka nile ndio linatulia na jioni linaanza mida ya saa 12.

Nimepima sana na napewa dawa linaacha kama miezi miwili halafu linaanza tena msaada naomba kama kuna ufumbuzi nitumie dawa gani?
kunywa glasi 1 ya maji ya uvuguvugu dakika 10 kabla aya kula chakula fanya hivyo kisha uje unipe feedback.
 
Back
Top Bottom