kibenten
JF-Expert Member
- Mar 12, 2018
- 499
- 507
Habarini ndugu zangu.
nna mchumba wangu anatatizo la kutosikia vizuri,hali hii imemtokea tu ivi karibuni zamani hakuwa na tatizo hili hata kidogo,
shida ilianza pale alipoenda field pale idara ya maji mwanza, kwa maelezo yake alikuwa kwenye kitengo cha kutibu maji,sasa humo kuna mashine zinaunguruma sana na walikuwa hawapewi headphones (labda walidharauliwa sababu ni wanafunzi wako tu field).
sasa toka aondoke masikio yake hayasikii vizuri hadi uongee kwa sauti, kaenda hospital kaambiwa ngoma za masikio zimeingia ndani kapewa dawa nyingi kinoma kameza zote lakini hali bado.
nmempeleka kwa waganga wa kienyeji kaambiwa eti kuna mwenzie kamroga asifaulu chuo kampa madawa kanywa hadi kachoka,chale za kutosha, n.k.
Ana miezi sita saiv tatzo bado.
Ushauri na msaada anayejua zaid juu ya hili tatizo anisaidie.
nna mchumba wangu anatatizo la kutosikia vizuri,hali hii imemtokea tu ivi karibuni zamani hakuwa na tatizo hili hata kidogo,
shida ilianza pale alipoenda field pale idara ya maji mwanza, kwa maelezo yake alikuwa kwenye kitengo cha kutibu maji,sasa humo kuna mashine zinaunguruma sana na walikuwa hawapewi headphones (labda walidharauliwa sababu ni wanafunzi wako tu field).
sasa toka aondoke masikio yake hayasikii vizuri hadi uongee kwa sauti, kaenda hospital kaambiwa ngoma za masikio zimeingia ndani kapewa dawa nyingi kinoma kameza zote lakini hali bado.
nmempeleka kwa waganga wa kienyeji kaambiwa eti kuna mwenzie kamroga asifaulu chuo kampa madawa kanywa hadi kachoka,chale za kutosha, n.k.
Ana miezi sita saiv tatzo bado.
Ushauri na msaada anayejua zaid juu ya hili tatizo anisaidie.