jamaajamii
Member
- Apr 19, 2015
- 70
- 6
- Thread starter
- #21
Chukua jiwe umponde....ha ha ha
Una jina zuri,salt,nikikuweka ndani nitabadilisha kidogo na kukuita Sugar.
Chukua jiwe umponde....ha ha ha
Eeeeh! Majanga! Unamtaka hadi mshana! YIESU!
Mambo mengine ni off line.Nitumie namba twende off line.Wali mchafu unanukia naanza kupata majibu ya kutiya mwoyo.maombi yaambatanishwe na cv??? Vyeti viwe certisfied???
Kwani wewe unamjua Mshana?Wewe unataka mchumba au Mshana?
Okay mchumba naomba nije hata kwenye intavyuuEve,unaweza kuwa ni wewe Mungu apewe sifa maana mke mwema hutoka kwake Bwana.Naona sifa angalau ya kwanza,wewe ni mkristu.Miezi miwili nadhani nitakuwa nimepata wachumba na kuchagua mmoja na huo ndo utakuwa mwisho.
Hapana wewe ukinikubali tunatumiana namba za simu na kupanga kuonana.
Agnes yes,but Juma nadhani ktk sifa tajwa unaweza kosa hiyo moja.Dini vp?
Okay mchumba naomba nije hata kwenye intavyuu
Unanambia nipite hivi ili uweke cv yako? tutakutana kwenye intavyuu tu ha ha haLol. Pita hivi, acha kauzibe
Kwani wanaume hawaolewi?Nimecheka sana huyu jamaa alivyoanza kuparamia wanaume wenzie hahahaahaa.. eti nitumie namba ya simu tuyazungumze hahaha