Msaada tafadhali, kuna anaemjua huyu dada ? Very urgent

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
51,989
23,501
Kuna simu imeibiwa kwenye harusi wapendwa, ni kweli kila mtu anakula ofisini mwake, ila harusi sio ofisi. Baada ya kuibiwa simu ile whatsapp inaonekana ilikuwa confg, so mhusika alipo renew line kwenye whatsapp yake anaona picha ya huyu binti ila namba haoni.

Msaada watu wa IT jinsi ya kupata namba yake, Zawadi kutolewa itakapopatikana

NB: Vigezo na masharti kuzingatia

 

Attachments

  • IMG-20141216-WA0016.jpg
    IMG-20141216-WA0016.jpg
    26.4 KB · Views: 1,292
jaribu kule MMU kama ni bar made kuna watalaamu watakupa mpaka nambayake ya simu, ikishindikana ipeleke picha kwenye gazeti la udaku atapatikana chapchap, tupatie na sisi maujanja haya, huku kwetu hii taaluma bado kidogo
 
Pdidy

Nenda pale Fb kuna Group la Wataalam wa IT watakusaidia vilivyo
 
Last edited by a moderator:
jaribu kule mmu kama ni bar made kuna watalaamu watakupa mpaka nambayake ya simu, ikishindikana ipeleke picha kwenye gazeti la udaku atapatikana chapchap, tupatie na sisi maujanja haya, huku kwetu hii taaluma bado kidogo
eddy wasikusikie mmu m sijasikia
 
Mwambie aende kwenye setting payment info ataikuta namba ila ni uongo kwa yeye kurenew namba kukuta picha ya huyo dada,labda iwe kwa namba nyingine
 
jaribu kule MMU kama ni bar made kuna watalaamu watakupa mpaka nambayake ya simu, ikishindikana ipeleke picha kwenye gazeti la udaku atapatikana chapchap, tupatie na sisi maujanja haya, huku kwetu hii taaluma bado kidogo

Ni bar maid!
 
Elisha MKUU possible
Nikusaidie kunadada wa prec aliibiwa simu january krkoo,,simu aliyonayo akiingizalineyake anaona anaeitumia akishtuka wanabadili namba...siku yasiku akaja kuinunua bosimkubwa tu wa kampuni moja airport...kutakakukujuza hili huyu dada kablayakumvaa boss aliniomba ushauri....mbayazaidi alikuwa anauwezowakuingia mpaka kwenye picha zayule boss akiwa na simu nyingine...tikaona makubwa namengine ayasemeki tukamuingia alipokataa tukaomba polisi...kilichofanyika aliingiza paswword yaile simu ilioibiwa kwenye simuyake na kuanzakuwaonyesha polisi hii sio pichazako...mzee aliomba waingie watatu vyumbani qkaombayaishe
 
Mwambie aende kwenye setting payment info ataikuta namba ila ni uongo kwa yeye kurenew namba kukuta picha ya huyo dada,labda iwe kwa namba nyingine

Yawezekana. Simu ilipoibwa ilikuwa na WhatsApp kwa pengine huyo mwizi kwa uzembe wake akaweka Picha yake, sasa mwenye WhatsApp aliporenew namba yake na kurejesha WhatsApp itarejea kwake na picha ya mwisho ya profile na pengine hata message za mwisho.
Kwa hiyo ni jambo linalowezekana kama mwizi sio mzoefu wa smartphones, ila kama ni mzoefu anaweza futa Apps zote na kuanza upya kabisa.
Ova
 
Mmh bado haijaniingia maana ukiweka namba haitambuliwi moja kwa moja ndio maana unaweza kutumia laini nyingine kwa gsm na kwenye whatsapp namba nyingine hivyo ili iwe hivy aweze kuchat inabidi abadilishe namba au kufuta namba ambapo inaonekana amebadili namba ambapo kama angekuwa mwenye simu yuko kwenye kundi basi ingewapa taarifa walioko kwenye group mabadiliko ya namba ambapo ukirudisha namba yako utakuta kuna picha yako.

Nakubaliana na mkuu aliepita kwamba mtumiaji hajui matumizi ya smartphone ndio maana kajichanganya kaweka picha kabla ya kutoa namba
 
Elisha MKUU possible
Nikusaidie kunadada wa prec aliibiwa simu january krkoo,,simu aliyonayo akiingizalineyake anaona anaeitumia akishtuka wanabadili namba...siku yasiku akaja kuinunua bosimkubwa tu wa kampuni moja airport...kutakakukujuza hili huyu dada kablayakumvaa boss aliniomba ushauri....mbayazaidi alikuwa anauwezowakuingia mpaka kwenye picha zayule boss akiwa na simu nyingine...tikaona makubwa namengine ayasemeki tukamuingia alipokataa tukaomba polisi...kilichofanyika aliingiza paswword yaile simu ilioibiwa kwenye simuyake na kuanzakuwaonyesha polisi hii sio pichazako...mzee aliomba waingie watatu vyumbani qkaombayaishe
Mtumishi naona mwezi mchanga umeanza tena......Hapo nyuma ulipunguza Mawenge naona unarudi kwa kasi
 
Kuna simu imeibiwa kwenye harusi wapendwa, ni kweli kila mtu anakula ofisini mwake, ila harusi sio ofisi. Baada ya kuibiwa simu ile whatsapp inaonekana ilikuwa confg, so mhusika alipo renew line kwenye whatsapp yake anaona picha ya huyu binti ila namba haoni.


Msaada watu wa IT jinsi ya kupata namba yake, Zawadi kutolewa itakapopatikana

NB: Vigezo na masharti kuzingatia
PDIDY hiyo back ground inaonyesha huyu bint wa uswazi,peleka picha kwa shigongo faster ,na kazawadi mbona utaonyeshwa hadi kaburi la bibi yake!
 
Mmh bado haijaniingia maana ukiweka namba haitambuliwi moja kwa moja ndio maana unaweza kutumia laini nyingine kwa gsm na kwenye whatsapp namba nyingine hivyo ili iwe hivy aweze kuchat inabidi abadilishe namba au kufuta namba ambapo inaonekana amebadili namba ambapo kama angekuwa mwenye simu yuko kwenye kundi basi ingewapa taarifa walioko kwenye group mabadiliko ya namba ambapo ukirudisha namba yako utakuta kuna picha yako.

Nakubaliana na mkuu aliepita kwamba mtumiaji hajui matumizi ya smartphone ndio maana kajichanganya kaweka picha kabla ya kutoa namba

hayo yanaqezekana ila inatwgemea aina ya simu na setting ya simu ulivyoiseti kabla haijaibwa. kwa wale wanatumia smart za samsung ni rahisi mbona tu.
 
PDIDY hiyo back ground inaonyesha huyu bint wa uswazi,peleka picha kwa shigongo faster ,na kazawadi mbona utaonyeshwa hadi kaburi la bibi yake!
MKUU kama ulinisikia nilipomwona niliwambia anakaauswazi kamasitandale kwamtogole
 
King kings embutafuta washikaj wa it tunafanyaje???lazimatulembuzi xmass hatakama nauliya moshintumekosa
 
King kings embutafuta washikaj wa it tunafanyaje???lazimatulembuzi xmass hatakama nauliya moshintumekosa

Huyo sister kwenye picha nishawahi kumuona sehemu ngoja watu wa IT waje,dada alivyo config whatsapp ilivyomuuliza a new number has been detected do you want to change phone number akaclick yes akaweka number yake baadae akabadili prifile picture akaweka hiyo picha,cha msingi hapo hawaulize direct watu wa whatsapp watampa jibu ndani ya lisaa tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom