Exformer
JF-Expert Member
- Nov 12, 2018
- 838
- 950
Wanajamvi kweny hili sakata la kujaza maombi ya hizi nafasi zilizotangazwa na TAMISEMI.
Ninatengeneza account lakin taarifa za NIN napoweka naambiwa sio sahihi ama majibu yangu sio Sahihi.
Je, kuna namba ya kupata taarifa za NIDA kwenye mtandao? Au nyie mnafanya vipi?
Msaada.
Ninatengeneza account lakin taarifa za NIN napoweka naambiwa sio sahihi ama majibu yangu sio Sahihi.
Je, kuna namba ya kupata taarifa za NIDA kwenye mtandao? Au nyie mnafanya vipi?
Msaada.