Rogie
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 7,581
- 6,675
Habarini za wakti GT, samahani naomba kupatiwa msaada katika hili, nimejaza fomu za kuappeal bodi ya mikopo lkn kila ninapojaribu kuprint hzo fomu inaload kidogo halafu inasimama na wala haileti hzo fomu nilizojaza. Kuna yyte ambaye amekutana na kitu km hii wakuu? tusaidiane