STimira
Senior Member
- Feb 14, 2012
- 133
- 23
wanajamii, nashukuru kwa msaada wenu kwani nimephanikiwa kurestore software ya simu yangu ya iphone. ila sasa kuna tatizo moja , kwamba inakataa sim kadi inaniambia kuwa haisapoti. je, kuna msaada zaidi naweza pata ili kuifanya simu iweze kuwa full active??? nimeweka laini ya zain na network iko sawa ila inaniambia simu kadi hii haiko supported, msaada wakuu!!!!