mzee wandimu
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 470
- 229
Heshima mbele wanabodi!
naomba kwayetote anaeweza kunisaidia/kunijulisha kupata shule ya kidato chatano kwa ajili ya mchepuo wa sayansi ninadogo anataka shule ya private! ana three ya 23, anataka PCM au PCB!
PCM ana C ,B,D na PCB ana C,B,C.
NOTE shule iwe ARUSHA au KILIMANJARO!
nawasilisha!
naomba kwayetote anaeweza kunisaidia/kunijulisha kupata shule ya kidato chatano kwa ajili ya mchepuo wa sayansi ninadogo anataka shule ya private! ana three ya 23, anataka PCM au PCB!
PCM ana C ,B,D na PCB ana C,B,C.
NOTE shule iwe ARUSHA au KILIMANJARO!
nawasilisha!