Tafuta mtu mwenye laptop au
computer yenye CD/DVD ROM, then copy mafaili yote kutoka hiyo CD kwenda
katika Flash Disk(USB Drive). Chomeka katika laptop yako tayari kwa
installation.
kwa msaada zaidi ni PM kabla ya saa 11 jioni kwa muda wa
Tanzania.
c inabidi capacity ya flash disc iwe kubwa sana??