mteule
Senior Member
- Aug 2, 2007
- 149
- 252
Wakuu nisaidieni,
kuna mtu ame hack account yangu na ameanza kusambaza email za kipuuzi kwa kutumia address yangu.
Nimebadili password, na nimeweka filter kwa email zote zinazoingia. Je kuna namna nyingine ya kulinda account yangu ili ufedhuli huu usitokee tena?
kuna mtu ame hack account yangu na ameanza kusambaza email za kipuuzi kwa kutumia address yangu.
Nimebadili password, na nimeweka filter kwa email zote zinazoingia. Je kuna namna nyingine ya kulinda account yangu ili ufedhuli huu usitokee tena?