Msaada pleaseeeeee

LARRYBWAY

Member
Feb 21, 2012
82
5
Nina mwezi wa pili sasa unaenda, kila nikienda haja ndogo mkojo unatoka wa njano, nikisema ninywe maji mengi, mkojo unatoka mweupe kama kawaida, siku nisipokunywa maji au nikinywa maji kidogo mkojo unatoka wa njano na maumivu kwa mbali hivi huwa nasikia, nikaenda kupima gono na damu vyote vipo safi, doctor akaniambia sina tatizo lolote, sasa nimeona niwasilishe mjengoni ili niweze kupewa mawazo kama kuna mtu anafahamu tatizo hilo au dawa yake cz nahofia isijekuwa ni protest cancer inaanza taratibu.,..mnakaribishwa kwa ushauri
 
pole sana kwa tatizo hilo, kwanza jitahidi sana kunywa maji ya kutosha, halafu wahi hospitali wakakupime njia yote ya mkojo na mfumo wake, pia waangalie stones, etc...sio ishu mkuu hili linatibika hapahapa tz..muhimu ni uwahi hospitali kwani inawezekana hospitali uliyoenda wamekumislead kuhusiana na tatizo lako maana siku hizi mh! nenda hosp nyingine ukecheki hivyo...kila la kheri Inshaallah!
 
Inaonekana Bro unahofu, kwa vile umekwena HOSPITALI VIPIMO SAFI na KWa mujibu wa maelezo yako, ukitilia maanani na mda wa tatizona na dalili unazotoa, nahisi hamna tatizo.
labda nkwambie kawaida mkojo ni manjano hata uliwa huumwi na siku za joto huzidi na huuma kidogo kwa mana unakuwa acidic, dawa kunywa maji mengi, kila siku asubuhi anza glass moja mpaka 2, kwa wili ukiona bado nenda spitali kubwa umuone Dr< bingwa, si hivyo
Furahi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom