Msaada please

Jofeya

Member
Jul 29, 2015
50
27
Wanajamvi ninaomba msaada wenu katika hili.

Mimi nina tatizo moja nikianza kufanya mapenzi uume haulali kabisa hata kama ni usiku mzima hadi asubuhi, wasichana wananikimbia sasa.

Nikikutana naye mara moja hataki turudie.

Please naomba msaada yaani nikimaliza sex inatake hadi lisaa ndo dushe lilale.

Ninaomba msaada wa mawazo.
 
Ni kiasi cha kucheza na akili yako tu hapo.Ukishamaliza game ipeleke akili yako kwenye issue nyingine
 
Back
Top Bottom