Davies_007
Member
- Apr 22, 2010
- 59
- 0
Jaman Naomba Msaada Wa Jambo Hili.
Kuna office ambayo ni kama HQ iko hapa Dar es salaam, then kuna Branch Mwanza na Arusha. shida yangu nataka branch za Mwanza na Arusha ziweze kuacces Database ambayo iko kwenye server ambayo iko Dar es salaam. sehemu hizo zote zina Intarnet. naomba tips maengeneering
Kuna office ambayo ni kama HQ iko hapa Dar es salaam, then kuna Branch Mwanza na Arusha. shida yangu nataka branch za Mwanza na Arusha ziweze kuacces Database ambayo iko kwenye server ambayo iko Dar es salaam. sehemu hizo zote zina Intarnet. naomba tips maengeneering