tisa desemba
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 434
- 114
wadau wa sheria,
naombeni msaada wa hatua za kuchukua endapo mtu atakutumia meseji za matusi makali (sio vitisho) kwenye simu yako... msaada plz jambo hili limekuwa likisumbua sana hapa kijijini kwetu hasa sisi viongozi wa serikali ya kijiji tunaposuluhisha kesi za wanajamii.
naombeni msaada wa hatua za kuchukua endapo mtu atakutumia meseji za matusi makali (sio vitisho) kwenye simu yako... msaada plz jambo hili limekuwa likisumbua sana hapa kijijini kwetu hasa sisi viongozi wa serikali ya kijiji tunaposuluhisha kesi za wanajamii.