Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,035
- 6,907
Jamaangu alikuwa anafanya Kazi ya mkataba Tanesco alikuwa analipwa kiasi kama hicho na per diem za kuzidi si unajua Tanesco wako busy.
Kaja kupata Kazi Serikalini na salary ni hiyo hiyo uliotaja,alienda kwa madai kwamba job security.
Ila maisha anaganga tofauti na awali,ameishia kumuendesha mke wa Judge 😃😃 na wewe jishauri uamue.
Kaja kupata Kazi Serikalini na salary ni hiyo hiyo uliotaja,alienda kwa madai kwamba job security.
Ila maisha anaganga tofauti na awali,ameishia kumuendesha mke wa Judge 😃😃 na wewe jishauri uamue.