Msaada: Nimeibiwa laptop ninaweza kuipata?

Kama uliweka system password laptop itakuwa unaccessible hardisk na mboard ni screen pekee na battery ndio atabaki nayo na pia kama ni dell unaweza kuitrack kama uliandika service tag yake
 
Kama uliweka system password laptop itakuwa unaccessible hardisk na mboard ni screen pekee na battery ndio atabaki nayo na pia kama ni dell unaweza kuitrack kama uliandika service tag yake

nilinunua muda sana sina hiyo service tag
 
hivi nikienda Vodacom na namba ambayo nilikua natumia Kwenye modem wakati wa kuingia internet wanaweza kunipatia ip adress ya computer iliyopotea then tukajua nani anaitumia hiyo computer na namba ya simu ya hiyo laini anayotumia kuingilia internet..vp hii idea itafanikiwa kweli
 
hivi nikienda Vodacom na namba ambayo nilikua natumia Kwenye modem wakati wa kuingia internet wanaweza kunipatia ip adress ya computer iliyopotea then tukajua nani anaitumia hiyo computer na namba ya simu ya hiyo laini anayotumia kuingilia internet..vp hii idea itafanikiwa kweli

Wakupatie IP adress ya computer iliopotea?
Unaelewa vizuri maana au walau matumizi ya IP adress?
zaidi Vodacom watakuomba Police form ambayo mpaka uipate kwa hii Corrupt police force sijui...
Na mabacho Vodacom wataweza kufanya ni ku block labda hiyo modem kwa IMEI wakati wewe ume target upate PC...


kwa kifupi nakuomba upote hizi ndoto na anza ku plan jinsi ya kununua nyingine maana Tanzania tu kukamata simu ni issue sembuse laptop...
Haiwezekani mkubwa
 
Wakupatie IP adress ya computer iliopotea?
Unaelewa vizuri maana au walau matumizi ya IP adress?
zaidi Vodacom watakuomba Police form ambayo mpaka uipate kwa hii Corrupt police force sijui...
Na mabacho Vodacom wataweza kufanya ni ku block labda hiyo modem kwa IMEI wakati wewe ume target upate PC...


kwa kifupi nakuomba upote hizi ndoto na anza ku plan jinsi ya kununua nyingine maana Tanzania tu kukamata simu ni issue sembuse laptop...
Haiwezekani mkubwa[/QUO
haya kaka nimekuelewa
 
Muwe mnaweka hata power on BIOS password na HDD hata atakae iba asifaidike sana, kuna laptop nyingine sio rahisi kutoa power on password na nyingine zinatoka ila sio kazi ndogo.
 
next time nunua laptop yenye processor ya kisasa za intel zenye technology ya vpro, then lipia huduma ya intel ya ant theft, hapo utakuwa umekomesha wizi sababu kila processor inakuwa unique hazifanani hivyo wao intel wanazitambua hata mwizi akimbilie wapi utaipata. bei ni around dola 30 kwa mwaka ila zinapatikana za chini ya hapo.
 
next time nunua laptop yenye processor ya kisasa za intel zenye technology ya vpro, then lipia huduma ya intel ya ant theft, hapo utakuwa umekomesha wizi sababu kila processor inakuwa unique hazifanani hivyo wao intel wanazitambua hata mwizi akimbilie wapi utaipata. bei ni around dola 30 kwa mwaka ila zinapatikana za chini ya hapo.
Mfano wa hizo laptop please
 
Mfano wa hizo laptop please

Hiyo huduma ya Anti theft kutoka kwa intel imesitishwa toka January wakuu.. laptops zilizo na hiyo huduma ni Lenovo T series, X series na W series (mfano Lenovo W550s,W541..) Hp elitebooks,.. licha ya habari hizo mbaya Norton ya Symantec itaendelea kuwasaidia wamiliki kuweza kulock laptops zao zikipote endapo utakua umelipia Norton Anti theft
 
hivi nikienda Vodacom na namba ambayo nilikua natumia Kwenye modem wakati wa kuingia internet wanaweza kunipatia ip adress ya computer iliyopotea then tukajua nani anaitumia hiyo computer na namba ya simu ya hiyo laini anayotumia kuingilia internet..vp hii idea itafanikiwa kweli

Mpendwa, kwa maombi itarudishwa tu. Bila hata senti moja ya gharama. Kwa Jina la Yesu wa Nazareti.
 
Back
Top Bottom