Msaada: Niliingia mkataba wa bajaji kwa miaka miwili, baada ya miezi 20 nimepokonywa bajaji

Curtis De Mi Amor

Senior Member
Jan 9, 2022
134
498
Ni haki kweli? Kuna mdau mmoja kanipa bajaj yake kwa mkataba wa miaka 2. Yaani kila siku nimpe 20,000/=.

Nimefanya kazi kwa muda wa miezi 20, huyo mdau kaninyang'anya chombo kwa Madai anamadeni benki hivyo inabidi aiuze ili apunguze deni.

Nimejaribu sana kufuatilia kwa watu mbali mbali kuona ntasaidiwaje ila kote bila bila.

Naombeni ushauri wenu kwa wenye uelewa zaidi.

N.B HILI BANDIKO NI LA MDAU AMBALO NIMESHARE NANYI.
 
Ni haki kweli? Kuna mdau mmoja kanipa bajaj yake kwa mkataba wa miaka 2. Yaani kila siku nimpe 20,000/=. Nimefanya kazi kwa muda wa miezi 20, huyo mdau kaninyang'anya...
PACTA SUNT SERVANDA

Hiyo bajaji ni Mali yako, kopa marejesho ya miezi 4 iliyobakia muwekee kwenye akaunti. Fungus kesi mahakamani, mahakama imlazimishe AKUPE Mali yako
 
Ni haki kweli? Kuna mdau mmoja kanipa bajaj yake kwa mkataba wa miaka 2. Yaani kila siku nimpe 20,000/=.

Nimefanya kazi kwa muda wa miezi 20, huyo mdau kaninyang'anya chombo kwa Madai anamadeni benki hivyo inabidi aiuze ili apunguze deni.

Nimejaribu sana kufuatilia kwa watu mbali mbali kuona ntasaidiwaje ila kote bila bila.

Naombeni ushauri wenu kwa wenye uelewa zaidi.

N.B HILI BANDIKO NI LA MDAU AMBALO NIMESHARE NANYI.
30x20×20,000= 12M

Jamaa kaona wivu baada ya kuona pesa yake imesharudi.....
 
Ni haki kweli? Kuna mdau mmoja kanipa bajaj yake kwa mkataba wa miaka 2. Yaani kila siku nimpe 20,000/=.

Nimefanya kazi kwa muda wa miezi 20, huyo mdau kaninyang'anya chombo kwa Madai anamadeni benki hivyo inabidi aiuze ili apunguze deni.

Nimejaribu sana kufuatilia kwa watu mbali mbali kuona ntasaidiwaje ila kote bila bila.

Naombeni ushauri wenu kwa wenye uelewa zaidi.

N.B HILI BANDIKO NI LA MDAU AMBALO NIMESHARE NANYI.
Ukikosa haki yako chukua sheria mkononi kiakili sana.
 
1- hawakuandikishana popote Bali walipeana Ile ya kuaminiana.
2- kwanini hawakuandikishana, nikwasababu aliwahi kufanya kazi ya kuuza duka la mdau la spare.
3- Hilo swala lilifikishwa kwa mtendaji na mpaka polisi, ambapo mdau alikana kumpa dog chombo chake na hafahamu makubaliano ya aina yote baina Yao.
4- mdau ni askari hivo ni kama anamkandamiza dog kupata haki yake. Na ukizingatia chombo kilitunzwa na bado Kiko vizuri.
5-mpaka bandiko hili linakuja huku, dog alikuwa amewekwa lockup kwa kesi ya kumtusi huyo mdau. Ila tulifanikiwa kumtoa swala limebaki kwenye haki za huyo dogo kwenye hio bajaj. Mdau kasema labda afe na chombo kashakiuza jana jioni 4.3ml. Inaumiza kwakweli.
 
Ni haki kweli? Kuna mdau mmoja kanipa bajaj yake kwa mkataba wa miaka 2. Yaani kila siku nimpe 20,000/=.

Nimefanya kazi kwa muda wa miezi 20, huyo mdau kaninyang'anya chombo kwa Madai anamadeni benki hivyo inabidi aiuze ili apunguze deni.

Nimejaribu sana kufuatilia kwa watu mbali mbali kuona ntasaidiwaje ila kote bila bila.

Naombeni ushauri wenu kwa wenye uelewa zaidi.

N.B HILI BANDIKO NI LA MDAU AMBALO NIMESHARE NANYI.
Tafuta mwanasheria akusaidie
 
Back
Top Bottom