Azam Media yapata haki za matangazo ya ligi kuu Kenya kwa Mkataba wa Miaka 7 wenye thamani ya Tsh. Bilioni 23

ntamaholo

JF-Expert Member
Aug 30, 2011
12,906
6,909
F42RTUjXwAATqOt.jpg


Azam Media na Shirikisho la Soka Kenya waingia mkataba wa haki ya matangazo kuonesha ligi ya Kenya wenye thamani ya Shilingi za Tanzania Bilioni 23, kwa muda wa miaka saba.

Hii ni hatua njema kwa kukuza ligi za ukanda wetu. Wakenya toeni support kwa Azam media, mtafurahia sana.

Viva Azam.
Viva Tanzania.
Viva East Africa.

===

Pia soma - Hongera Azam kwa kuanza kuonesha Ligi ya Kenya mtafika mbali. Commentator awe na lafudhi yao kama DJ Afro
 
Ligi ya Kenya haina uzuri wowote
Itapata thamani, kumbuka wana wachezaji wazuri waliofanya makubwa kuliko tanzania. Ni very determined sana kwenye michezo.

Pia kwenye msimamo wako juu yetu pale 105 japo ligi yao bado sana ukilinganisha na yetu

Kikosi cha timu ya taifa ya kenya kina thamani ya €17mil wkt Tanzania €5milion.
Screenshot_20230831-122920.jpg
Screenshot_20230831-123009.jpg
 
Itapata thamani, kumbuka wana wachezaji wazuri waliofanya makubwa kuliko tanzania. Ni very determined sana kwenye michezo.

Pia kwenye msimamo wako juu yetu pale 105 japo ligi yao bado sana ukilinganisha na yetu

Kikosi cha timu ya taifa ya kenya kina thamani ya €17mil wkt Tanzania €5milion.View attachment 2734417View attachment 2734418
Asante Kwa ufafanuzi
 
Leo tar 31/8/2023 kampuni ya Azam media kupitia Azam sports imesaini mkataba wa kurusha matangazo ya Moja Kwa Moja ya ligi ya Kenya Kwa mkataba wa miaka Saba ( 7 ).
Hii ni mwendelezo wa makampuni ya kitanzania ku-dominate maeneo nyeti ya kimkakati nchini Kenya na nchi zingine za ukanda huu wa Africa mashariki na kati na mkakati wa azamsports ni kukamata ukanda wa kusini mwa jangwa la Sahara na hatimae kushusha ufalme wa maltichoice. Watoto wa mjini husema " wakenya kuleni chuma icho"
 
Itapata thamani, kumbuka wana wachezaji wazuri waliofanya makubwa kuliko tanzania. Ni very determined sana kwenye michezo.

Pia kwenye msimamo wako juu yetu pale 105 japo ligi yao bado sana ukilinganisha na yetu

Kikosi cha timu ya taifa ya kenya kina thamani ya €17mil wkt Tanzania €5milion.View attachment 2734417View attachment 2734418
Sasa mambo ya team ya taifa na ligi zinaingiliana vipi mzee?? Ni kweli licha ya kuwa kwenye team yao ya taifa wapo mbali lakini kwa league yao hamna kitu kabisa, haina mvuto kama alivyogusia mkuu HIMARS
 
View attachment 2734403

Azam Media na Shirikisho la Soka Kenya waingia mkataba wa haki ya matangazo kuonesha ligi ya Kenya wenye thamani ya Shilingi za Tanzania Bilioni 23, kwa muda wa miaka saba.

Hii ni hatua njema kwa kukuza ligi za ukanda wetu. Wakenya toeni support kwa Azam media, mtafurahia sana.

Viva Azam.
Viva Tanzania.
Viva East Africa.

===

Pia soma - Hongera Azam kwa kuanza kuonesha Ligi ya Kenya mtafika mbali. Commentator awe na lafudhi yao kama DJ Afro
hio bil 23 ni kwa miaka 7 au per year....?
 
Back
Top Bottom