Jessy Joseph
Member
- Feb 23, 2017
- 55
- 26
Ivi in kweli bia inaondoa dawa ya nywele? Au nifanye nini kuondoa dawa katika nywele zangu?
Nywele zangu ni ndefu sana ..sitaman kuzinyoa Ila nmeziaribu na dawaWataalamu wa urembo mnahitajika huku..
Hii ndio nasikia leo..Dada unaonaje ukinyoa kabisa ziote upya vizuri?
apige para uongoWataalamu wa urembo mnahitajika huku..
Hii ndio nasikia leo..Dada unaonaje ukinyoa kabisa ziote upya vizuri?
Ndio, ni kweli.Ivi in kweli bia inaondoa dawa ya nywele? Au nifanye nini kuondoa dawa katika nywele zangu?
Asante..ila naskia mafuta ya Nazi yanaleta mbaNdio, ni kweli.
Au paka mafuta ya nazi kila siku asubuhi na jioni
my sister tembelea maduka ya madawa yahusiyo urembo utapata msaada zaidi na kuhusu bia sidhani kama huondoa maana wengi wangetumia basi kama n dawa.Ivi in kweli bia inaondoa dawa ya nywele? Au nifanye nini kuondoa dawa katika nywele zangu?
Thank you my kakamy sister tembelea maduka ya madawa yahusiyo urembo utapata msaada zaidi na kuhusu bia sidhani kama huondoa maana wengi wangetumia basi kama n dawa.
Ooh kweli?Hi Jessy
Vema ukaziosha nz cocacola au pepsi. utapata tiba ya unachotaka
Sio kipara, anyoe kawaida tuapige para uongo
anhaa daah..sawaNywele zangu ni ndefu sana ..sitaman kuzinyoa Ila nmeziaribu na dawa
Hilo sijuiAsante..ila naskia mafuta ya Nazi yanaleta mba
Huyo kwenye avatar ni wewe nini bibieNa mimi yalinikuta mwaka jana!!! Yaani nyweke ndefu kweli zikaharibika... Nilitamani kulia.
Nilitumia hiyo bia sijui lakini wapi!!!
Kurudisha nywele ni either uzinyoe au usiweke dawa kwa mda mrefu... Ata mwaka mzima... We unaosha tu na kutumia mafuta na kusuka.
Mimi niliamua kunyoa...
Not even close!!!Huyo kwenye avatar ni wewe nini bibie