...Natumai utakuwa unaangalia video ambazo ni recorded na si live.Nikicheza video za mtandaoni hukwamakwama na hata zile za live. Siku natazama mechi ya Simba na Shandy Sudan ilikuwa tabu. Ikiplay dk2 ina buffer dk2. Naombeni msaada juu ya hili ili nami ni enjoy.