Msaada: Nawashwa mwilini

Jul 26, 2023
11
4
Jamani habari,

Nina tatizo la kuwashwa huu mwezi wa 7 nililala na demu akaniambukiza gonorrhea nikatibiwa na dawa likapona, tatizo la kuwashwa linaendelea.

Nimetumia dawa za allergy cream lakini siponi nmepima HIV mara 4 lakini sina kaswende sina.

Naombeni msaada anayefahamu dawa au aliye wahi kuugua aniambie dawa, mficha maradhi kifo humuumbua.

20230703_150652.jpg
 
Jamani habari,

Nina tatizo la kuwashwa huu mwezi wa 7 nililala na demu akaniambukiza gonorrhea nikatibiwa na dawa likapona, tatizo la kuwashwa linaendelea.

Nimetumia dawa za allergy cream lakini siponi nmepima HIV mara 4 lakini sina kaswende sina.

Naombeni msaada anayefahamu dawa au aliye wahi kuugua aniambie dawa, mficha maradhi kifo humuumbua.

View attachment 2700058
Shida ya kubeba milupo club na kugonga bila condom.

Rudi hospitali Fanya vipimo sahihi na vipimo vya aleji.

Kama upo Dar nenda Ekenywa hospital Magomeni.
 
Alooooooooooooo.
uzinzi utakuua
unatembea na wanawake hadi wenye gono
kwanini usiwashwe.

ungedeal zako na nyetto haya yote yasingekukuta.
 
Back
Top Bottom