MERCIFUL
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 2,759
- 3,033
🤔🤔🤔Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 41
🤔🤔🤔Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 41
🤣Mwanaume miaka 41 unalilia mali za baba yako....
Umeandika una miaka 41 ?Habarini ndugu zangu,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 41 baba yangu baada ya kuuza nyumba yake na kugoma kunipatia na mimi japo pesa kidogo nikaanze maisha na ikanipelekea mimi kwenda polisi na mpaka mahakani na mahakama ikaamua kuwa mimi sina ninacho dai kwenye iyo nyumba ya baba.
Hatimaye chuki ikaanza kutamalaki katikati yangu mimi na mzee wangu. kitu kilicho niumiza zaidi ni baba yangu jana amesema hataki kuniona wala kunisikia na alienda mbele zaidi na kusema mimi sio mtoto wake.
Roho imeniuma sana sana mpaka nikawa nawaza mimi kupigania aki yangu ya kupata gawio kwenye mauzo ya ile nyumba ndio imefanya nisiwe mtoto wake na kilicho nifanya nifungue huu uzi stori ipo ivi.
Tuna nyumba nyingine ambayo nakaa mimi na baba angu mdogo ni nyumba ya baba alijenga, leo asubuhi amemtumia sms baba angu mdogo aniambie niondoke hapa na akija asinikute maana anataka kuipangisha, imenisikitisha sana na kuniumiza mnoo.
Nimewaza nitafute mbinu ya kuiuza hii nyumba pasipo baba na baba mdogo kujua ili niondoke kabisa hii Dar es salaam nikaanze maisha yangu sehemu nyingine, naombeni mbinu na ushauri wenu.
Sijui ataelewa unachojaribu kumwelewesha hapa??Yaani unataka Mali za Baba yako?. Bado miaka 19 ufikishe miaka 60 bado hujajitegemea.
Mwisho miaka mingapi mama. Maana mwenyewe hapa nina miaka 39 halafu dingi yangu kauza nyumba nataka nimletee noma.Mwanaume miaka 41 unalilia mali za baba yako....
Hii iingizwe kwenye maajabu ya dunia.
Mwenyew anajiona bado yanki😂🤣
Mkuu, amesema yeye ni kijana, ana miaka 41 tu!!
Uza mkuu ukifanikiwa nicheck inbox nikupeleke kiwanja cha watoto wakale wakausaidie kula urithi.Habarini ndugu zangu,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 41 baba yangu baada ya kuuza nyumba yake na kugoma kunipatia na mimi japo pesa kidogo nikaanze maisha na ikanipelekea mimi kwenda polisi na mpaka mahakani na mahakama ikaamua kuwa mimi sina ninacho dai kwenye iyo nyumba ya baba.
Hatimaye chuki ikaanza kutamalaki katikati yangu mimi na mzee wangu. kitu kilicho niumiza zaidi ni baba yangu jana amesema hataki kuniona wala kunisikia na alienda mbele zaidi na kusema mimi sio mtoto wake.
Roho imeniuma sana sana mpaka nikawa nawaza mimi kupigania aki yangu ya kupata gawio kwenye mauzo ya ile nyumba ndio imefanya nisiwe mtoto wake na kilicho nifanya nifungue huu uzi stori ipo ivi.
Tuna nyumba nyingine ambayo nakaa mimi na baba angu mdogo ni nyumba ya baba alijenga, leo asubuhi amemtumia sms baba angu mdogo aniambie niondoke hapa na akija asinikute maana anataka kuipangisha, imenisikitisha sana na kuniumiza mnoo.
Nimewaza nitafute mbinu ya kuiuza hii nyumba pasipo baba na baba mdogo kujua ili niondoke kabisa hii Dar es salaam nikaanze maisha yangu sehemu nyingine, naombeni mbinu na ushauri wenu.
Haijalishi miaka mingapi banaMwisho miaka mingapi mama. Maana mwenyewe hapa nina miaka 39 halafu dingi yangu kauza nyumba nataka nimletee noma.
Habarini ndugu zangu,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 41 baba yangu baada ya kuuza nyumba yake na kugoma kunipatia na mimi japo pesa kidogo nikaanze maisha na ikanipelekea mimi kwenda polisi na mpaka mahakani na mahakama ikaamua kuwa mimi sina ninacho dai kwenye iyo nyumba ya baba.
Hatimaye chuki ikaanza kutamalaki katikati yangu mimi na mzee wangu. kitu kilicho niumiza zaidi ni baba yangu jana amesema hataki kuniona wala kunisikia na alienda mbele zaidi na kusema mimi sio mtoto wake.
Roho imeniuma sana sana mpaka nikawa nawaza mimi kupigania aki yangu ya kupata gawio kwenye mauzo ya ile nyumba ndio imefanya nisiwe mtoto wake na kilicho nifanya nifungue huu uzi stori ipo ivi.
Tuna nyumba nyingine ambayo nakaa mimi na baba angu mdogo ni nyumba ya baba alijenga, leo asubuhi amemtumia sms baba angu mdogo aniambie niondoke hapa na akija asinikute maana anataka kuipangisha, imenisikitisha sana na kuniumiza mnoo.
Nimewaza nitafute mbinu ya kuiuza hii nyumba pasipo baba na baba mdogo kujua ili niondoke kabisa hii Dar es salaam nikaanze maisha yangu sehemu nyingine, naombeni mbinu na ushauri wenu.
Hapo kwenye "kijana" ndio shida inapoanziaNi mwanaume halafu ni "kijana" wa miaka 41.
Le Kibamia kapata Pacha
Miaka 41 upo nyumbani wenzako 18 wanaondoka makwao na wanafanikiwaHabarini ndugu zangu,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 41 baba yangu baada ya kuuza nyumba yake na kugoma kunipatia na mimi japo pesa kidogo nikaanze maisha na ikanipelekea mimi kwenda polisi na mpaka mahakani na mahakama ikaamua kuwa mimi sina ninacho dai kwenye iyo nyumba ya baba.
Hatimaye chuki ikaanza kutamalaki katikati yangu mimi na mzee wangu. kitu kilicho niumiza zaidi ni baba yangu jana amesema hataki kuniona wala kunisikia na alienda mbele zaidi na kusema mimi sio mtoto wake.
Roho imeniuma sana sana mpaka nikawa nawaza mimi kupigania aki yangu ya kupata gawio kwenye mauzo ya ile nyumba ndio imefanya nisiwe mtoto wake na kilicho nifanya nifungue huu uzi stori ipo ivi.
Tuna nyumba nyingine ambayo nakaa mimi na baba angu mdogo ni nyumba ya baba alijenga, leo asubuhi amemtumia sms baba angu mdogo aniambie niondoke hapa na akija asinikute maana anataka kuipangisha, imenisikitisha sana na kuniumiza mnoo.
Nimewaza nitafute mbinu ya kuiuza hii nyumba pasipo baba na baba mdogo kujua ili niondoke kabisa hii Dar es salaam nikaanze maisha yangu sehemu nyingine, naombeni mbinu na ushauri wenu.
Mali wametafuta na "mchumba"/mke wake halafu huyo "kijana" anataka ajitwalie kabla hata hawajafa na kumuachia urithi!Elimu ya kujitambua kwa watoto wetu na kuzijua sheria kwa kiasi ni jambo la muhimu sana.😂😂😂😂😂Hahaha mkuu nimechukua umri wake nikagundua huyu sio kijana ila ni mvulana
Kijana anahama nyumbn akifikisha miaka 15 kama hayupo shule akiwa shule akimaliza form six huwa harudi nyumbn tena anaanza kutokea kwa marafiki mwisho anapanga chumba
Sasa huyu mvulana anajiita kijana kuna walakini hapa
Mali za wazazi ni zao wewe mtoto unapewa kwa hisani tu
🤣🤣🤣Mleta mda skiza. Usiiuze hiyo nyumba. Nakushauri bora uiibe ukimbie nayo itakusaidia huko mbeleni hutahitaji kupanga wala kujenga tena.
Umri ambao anatakiwa aanze kuitwa babu,yeye analilia mali za wazazi ambao bado wazima.Very problematic "old-boy"!😂😂😂😂Hapo kwenye "kijana" ndio shida inapoanzia
Mnapokutana,muwe mnapeana ABCs za maisha,maonyo,maelekezo,mafunzo na mielekeo miema.My hopeless twin youths is this a curse or?tunaenda wapi vijana mbona dunia inatukataa?
Hii nchi uhuru umepitiliza sana🤣🤣Umri ambao anatakiwa aanze kuitwa babu,yeye analilia mali za wazazi ambao bado wazima.Very problematic "old-boy"!😂😂😂😂