mekwedweet
Member
- Apr 17, 2009
- 12
- 1
Nataka kuanziasha financial institution. Wadau naomba msaada Wa procedures za kuanzisha hiyo biashara. Tayari nina investors walio tayari kutoa funds za capital na operations. Napatikana kwenye 0713 455 002 kwa mawasiliamo zaidi.