Msaada nataka kuanziasha financial institution

mekwedweet

Member
Apr 17, 2009
12
1
Nataka kuanziasha financial institution. Wadau naomba msaada Wa procedures za kuanzisha hiyo biashara. Tayari nina investors walio tayari kutoa funds za capital na operations. Napatikana kwenye 0713 455 002 kwa mawasiliamo zaidi.
 
Nataka kuanziasha financial institution. Wadau naomba msaada Wa procedures za kuanzisha hiyo biashara. Tayari nina investors walio tayari kutoa funds za capital na operations. Napatikana kwenye 0713 455 002 kwa mawasiliamo zaidi.

Mkuu ungekuwa muwazi, ingekusaidia wewe binafsi na wale wanaotaka kukusaidia. Procedure zinatofautiana kulingana na aina ya FI unayotaka kuanzisha. Wewe unataka kuanzisha ya muundo gani?
 
Back
Top Bottom