donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,522
Salaam wakuu,
The issue is, am planning to staRT my own business with a capital ranging from 5-10mill. Sina experience sana ya biashara so naomba kujuzwa biashara gani kwa hapa dar es salaam ni profitable na jinsi yakuiboresha biashara na kuifanya iweze kugrow.
Naomba kwa wana Jf ambao ni wafanyabiashara tafadhali muweze kunipa ushauri utakaonisaidia katika ndoto zangu za kujikwamua na umaskini.
Asanteni!
The issue is, am planning to staRT my own business with a capital ranging from 5-10mill. Sina experience sana ya biashara so naomba kujuzwa biashara gani kwa hapa dar es salaam ni profitable na jinsi yakuiboresha biashara na kuifanya iweze kugrow.
Naomba kwa wana Jf ambao ni wafanyabiashara tafadhali muweze kunipa ushauri utakaonisaidia katika ndoto zangu za kujikwamua na umaskini.
Asanteni!