Mgoda simtwange
Senior Member
- Sep 7, 2012
- 168
- 64
Wapi ndani ya jiji la dar naweza kuwapata watengenezaji/wauzaji wa mifuko ya size mbalimbali kwa ajili ya kupaki bidhaa za aina mbalimbali kama mchele, maharage, vitunguu. Zaidi zaidi nataka plastic bags zenye uwezo wa kubeba robo kilo, nusu kilo, kilo moja, kilo mbili, na tano na kumi. Tafadhali sana nawaomba wadau mnisadie