MOMPRENEUR
Senior Member
- Jun 18, 2016
- 193
- 126
Habari wakuu,
Humu JF nadhani kuna maboss humu na waajiri mbalimbali hivyo nachukua nafasi hii kuomba msaada wa kupewa kazi yoyote itayonipatia kipato cha halali.
Umri wangu ni miaka 25 na kiwango changu cha elimu ni shahada (Bachelor degree) ya elimu. Napatikana Dar es Salaam.
Humu JF nadhani kuna maboss humu na waajiri mbalimbali hivyo nachukua nafasi hii kuomba msaada wa kupewa kazi yoyote itayonipatia kipato cha halali.
Umri wangu ni miaka 25 na kiwango changu cha elimu ni shahada (Bachelor degree) ya elimu. Napatikana Dar es Salaam.