M Mkurabitambo JF-Expert Member Feb 3, 2010 230 57 Jul 25, 2012 #1 nikiwa kama mfanyakaz,kwa miaka mitatu sasa nimechangia NSSF.Kutokana na sheria hii mpya nafikiria kujitoa,naomba mnpijuze ntatoka vp?
nikiwa kama mfanyakaz,kwa miaka mitatu sasa nimechangia NSSF.Kutokana na sheria hii mpya nafikiria kujitoa,naomba mnpijuze ntatoka vp?
Goodrich JF-Expert Member Jan 29, 2012 2,091 1,177 Jul 25, 2012 #2 Huwezi kutoka maana sheria inamtaka kila muajiri na muajiriwa kuchangia katika mifuko ya hifadhi ya jamii. Namna pekee ni kujiajiri ndio utakuwa huru
Huwezi kutoka maana sheria inamtaka kila muajiri na muajiriwa kuchangia katika mifuko ya hifadhi ya jamii. Namna pekee ni kujiajiri ndio utakuwa huru