Natumaini wote ni wazima wa afya.
Mimi nataka kuagiza gari Japan kuna kampuni inaitwa YOSHIDA AUTO ila nimesikia njia nzuri ili nisitapeliwe initumie Pay Pal.
Sasa naombeni msaada hiyo huduma inatolewa na benki gani hapa Tanzania au nikitaka kujiunga nifanyeje?
Mimi nataka kuagiza gari Japan kuna kampuni inaitwa YOSHIDA AUTO ila nimesikia njia nzuri ili nisitapeliwe initumie Pay Pal.
Sasa naombeni msaada hiyo huduma inatolewa na benki gani hapa Tanzania au nikitaka kujiunga nifanyeje?