Habari wanajf..
Kwa yeyote anayejua nitawezaje kuonana na Mh Lowasa,, naomba mnisaidie ninashida naye binafsi, sijui pa kumpata sijui kwake wala ofisi zake..
Kama huna mchango plse kaa kimya
Nenda kwake mbona panafahamika vizuri sana,Habari wanajf..
Kwa yeyote anayejua nitawezaje kuonana na Mh Lowasa,, naomba mnisaidie ninashida naye binafsi, sijui pa kumpata sijui kwake wala ofisi zake..
Kama huna mchango plse kaa kimya
Habari wanajf..
Kwa yeyote anayejua nitawezaje kuonana na Mh Lowasa,, naomba mnisaidie ninashida naye binafsi, sijui pa kumpata sijui kwake wala ofisi zake..
Kama huna mchango plse kaa kimya
Mtafute kwa no. Hizi 0754 800000
Kaka/dada tatizo lako ni kama langu,nimefungua saloo maeneo ya mgodini huku Bulyanhulu na kuipa jina la Monduli One lakini nataka picha kubwa ya Mh Lowasa ili niweke mlangoni mwa saloon yangu,nilitaka tangu mwanzo kuweka post hapa JF lakini nikaogopa matusi na kejeli. Ukifanikisha tafadhari nipigie +255773338617 nakutakia dhamira njema.Habari wanajf..
Kwa yeyote anayejua nitawezaje kuonana na Mh Lowasa,, naomba mnisaidie ninashida naye binafsi, sijui pa kumpata sijui kwake wala ofisi zake..
Kama huna mchango plse kaa kimya
Nenda kwake mbona panafahamika vizuri sana,[/QU
Kwake wp mbona mie sipafahamu.
Kaka/dada tatizo lako ni kama langu,nimefungua saloo maeneo ya mgodini huku Bulyanhulu na kuipa jina la Monduli One lakini nataka picha kubwa ya Mh Lowasa ili niweke mlangoni mwa saloon yangu,nilitaka tangu mwanzo kuweka post hapa JF lakini nikaogopa matusi na kejeli. Ukifanikisha tafadhari nipigie +255773338617 nakutakia dhamira njema.