Msaada: Mtoto hataki kutumia potty

Endelea kumlazimisha ajifunze kutumia pot hata akilia mlazimishe hivyohivyo baadaye atazoea

Sent using Jamii Forums mobile app
Weee, utamlazimisha kama hataki? Yule mtoto wangu niliyekuonyesha siku ile naye hataki kabisa kutumia pot yaani mtagombana hapo unaweza kudhani kwenye poti kuna mdudu kamng'ata...yaani anakaza miguu balaa. Na ukiona anakataa hivyo basi mbioni kujisaidia, raha yake ajisaidie kwenye nguo mfue


Sent using Jamii Forums mobile app
 
ni mazoea tu mbadilishieni pampers avae wakat wa kulala tu na safari

mama ahakiishe mtoto akiamka tu asubh unapanga either kwenye miguu au kwenye pot akshiba tu apangwe asiwe mvivu itasaidia kidogo

wangu yuko na six months lakini akishikwa na haja anahangaika mpaka nimpange akijisaidia tu anakua sawa na nilianza hivo tangu yuko na three months
Mtoto wa miezi 14 bado anavalishwa Pampers?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
😂😂uuaji huo jmn
😄😄 Kabisa mkuu..kuna age ya mtoto unatakiwa u-cope nae tu na utafute njia mbadala ya kumsaidia...Na sio kwamba ni kiburi au nini,ni uoga wa kitoto..kuna wengine wanaogopa vitu kama kupigwa picha n.k.
 
nakumbuka mdogo wangu tulikuwa tukimuonesha jinsi ya kutumia(kupitia watoto wa jiirani),na pia kulikuwa na nyimbo tunamuwekea kama hii

''mi mi mi

ni ni ni
mh mh mh
ku ku ku
li li li
ma ma ma
a a a

ka ka ka
che che che
ka ka ka
sa sa sa

na na na''
 
Jibu sitoi


Joana, you are a smart young lady.

Na nilitaraji hilo jibu.

Kwanini huwezi kutoa jibu, sababu ni 2;

1--- kama ulipokuwa mtoto ulikuwa unaogopa kinyesi chako kwanini uanze kuongelea kuhusu mdogo wako wakati na wewe ulikuwa hivyohivyo.

2-- kama ulikuwa huogopi kinyesi chako basi mimi nipo sahihi kwamba mdogo wako alikuwa more smart than you and I suppose he/she must be so at this point in time. (Huyo mdogo wako alianza kujua uchafu ni kitu kibaya katika utoto, wewe katika utoto wako hukujua hilo ). Na hii ndiyo ilikuwa point yangu Kubwa.

Huu sio ugomvi baina yangu na wewe ni majadiliano tu, kama nitakuwa nimekuudhi naomba msamaha. 🤣

Shukrani.
 
Weee, utamlazimisha kama hataki? Yule mtoto wangu niliyekuonyesha siku ile naye hataki kabisa kutumia pot yaani mtagombana hapo unaweza kudhani kwenye poti kuna mdudu kamng'ata...yaani anakaza miguu balaa. Na ukiona anakataa hivyo basi mbioni kujisaidia, raha yake ajisaidie kwenye nguo mfue


Sent using Jamii Forums mobile app

Yule mtoto mmemdekeza tu.
Mimi mtoto akiwa anakataa hivyo Basi nitapambana naye hata wiki nzima,ntamlazimisha akae hapo hata kwa nguvu.
Baadaye anazoea tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hii quote uneikutakwa mademe S kamzesha pot tangu akiwa na miez mitatu sio kispot
yes niliambiwa hivo halaf wangub sjkuza na hizo pampes akivaa ni tunaenda mahali au kalala na wakat mwengine hata nikienda sehem pamoja naye namvisha nepi kufua kwangu si kitu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom