Tyta
JF-Expert Member
- May 21, 2011
- 12,767
- 10,526
ndugu zanguni watumiaji wa airtel,mwenzenu takribani wiki tatu sasa modem yangu iko slow kupitiliza,nikiweka bundle itaanza vizuri kwa kama dakika 5 hivi lakini baada ya hapo inachukua hata zaidi ya dakika 5 kuload page ,kibaya zaidi kudownload spidi inashuka mpaka 1-2kbs.Sasa tatizo hili sijui ni kwangu pekee ama kwa watumiaji wote.