Msaada: Mme wangu hapendi kuoga!

....mbona anaoga mara nyingi sana..? kwa siku mara moja..??wengine wanapiga passport tu,uzoefu wa boarding school...teh teh teh...
 
jaribu kufanya bathroom more attractive.i mean weka rose flowers,mishumaa ya harufu and dim lights.then uwe unaoga nae siyo unamuacha tuu mwenyewe probably anaogopa!

Umetoa ushauri wa busara kama ilivyo avatar yako.
 
Huyu atakuwa kasoma Bording huyu hayo ndo yalikuwa mambo yetu sasa daaah maisha haya jamani....
 
Mara nyingine mazingira ya kuoga yanaleta uvivu.

Mfano bafu liko nje ya nyumba na supply ya maji ni nje ya bafu kwamba ukitaka kuoga lazima ubebe maji kwenye chombo uende nayo bafuni...hii inaleta uvivu..tofauti na ukiwa na bafu ndani ya chumba chako cha kulala kiasi kwamba unafungua koki ya shower maji yanashuka unaoga.

Mwenyewe nikiwa mazingira ya kubeba maji kwenye ndoo kwenda nayo bafuni..nje ya nyumba napata shida sana kuoga.

Mshauri kubadilisha mazingira ya bafu.
 
Mimi ni mwanamke, nilieolewa tatizo linalonisumbua ni kua mume wangu nashindwa kum-define ni mchafu au anatatizo mana hapendi kabisa kiuoga esp jioni! smtimes hadi namtisha kua simpi uroda mpaka aoge ndo ataenda tena kwa kulalamika sana! pia cku za w'end yy huoga jionii yaani anashinda bila kuoga cku nzima, . na huwa naanda maji mm mwenyewe tena yaliochemshwa(mana anapotaka kuoga hupenda kuoga maji ya vuguvugu) unaweza ukaweka bafuni hadi ukaenda kuyatoa!yy anachotaka ni kuoga mara moja kwa cku!sasa akioga asubuhi anavoenda kzn ndo bac akirudi haogi
nifanyaje?je huo ni ugonjwa au tatizo?

Tunaomba mrejesho. Baada ya hiyo miaka yote anaoga mara ngapi kwa siku?
 
Mimi ni mwanamke, nilieolewa tatizo linalonisumbua ni kua mume wangu nashindwa kum-define ni mchafu au anatatizo mana hapendi kabisa kiuoga esp jioni! smtimes hadi namtisha kua simpi uroda mpaka aoge ndo ataenda tena kwa kulalamika sana! pia cku za w'end yy huoga jionii yaani anashinda bila kuoga cku nzima, . na huwa naanda maji mm mwenyewe tena yaliochemshwa(mana anapotaka kuoga hupenda kuoga maji ya vuguvugu) unaweza ukaweka bafuni hadi ukaenda kuyatoa!yy anachotaka ni kuoga mara moja kwa cku!sasa akioga asubuhi anavoenda kzn ndo bac akirudi haogi
nifanyaje?je huo ni ugonjwa au tatizo?

polee sana. sio ugonjwa ame be affctd na mazingira kama alisoma shule za bweni. usiogope ata badilika tu kuwa mvumilivu. endelea na jitihada hizo hizo.
 
Mimi ni mwanamke, nilieolewa tatizo linalonisumbua ni kua mume wangu nashindwa kum-define ni mchafu au anatatizo mana hapendi kabisa kiuoga esp jioni! smtimes hadi namtisha kua simpi uroda mpaka aoge ndo ataenda tena kwa kulalamika sana! pia cku za w'end yy huoga jionii yaani anashinda bila kuoga cku nzima, . na huwa naanda maji mm mwenyewe tena yaliochemshwa(mana anapotaka kuoga hupenda kuoga maji ya vuguvugu) unaweza ukaweka bafuni hadi ukaenda kuyatoa!yy anachotaka ni kuoga mara moja kwa cku!sasa akioga asubuhi anavoenda kzn ndo bac akirudi haogi
nifanyaje?je huo ni ugonjwa au tatizo?
Ni PM nikupe dawa, ni ya mwanamume MCHAFU NA MLEVI kupindukia.
 
Mh!kujiendekeza tu,jitu zima kuoga mpaka lipigiwe kelele?ingekua mm ningemuacha bila kumkumbusha nione atakaa cku ngapi na mwisho wa cku nahamia chumba cha watoto,ya nn kunukishiana vikwapa kwa makusudi,kuleteana mafua khaaa!
 
Hahahaha aiseee hii ndio inatwa kantangaze. Daaa jamaa hataki kusugua gaga.
 
Mh!kujiendekeza tu,jitu zima kuoga mpaka lipigiwe kelele?ingekua mm ningemuacha bila kumkumbusha nione atakaa cku ngapi na mwisho wa cku nahamia chumba cha watoto,ya nn kunukishiana vikwapa kwa makusudi,kuleteana mafua khaaa!
Hahahahaha
 
Dah! hii toka 2008, jee bado haogi? au kisha pigwa buti?
Faith, njoo tujibu.
 
Last edited by a moderator:
Mimi ni mwanamke, nilieolewa tatizo linalonisumbua ni kua mume wangu nashindwa kum-define ni mchafu au anatatizo mana hapendi kabisa kiuoga esp jioni! smtimes hadi namtisha kua simpi uroda mpaka aoge ndo ataenda tena kwa kulalamika sana! pia cku za w'end yy huoga jionii yaani anashinda bila kuoga cku nzima, . na huwa naanda maji mm mwenyewe tena yaliochemshwa(mana anapotaka kuoga hupenda kuoga maji ya vuguvugu) unaweza ukaweka bafuni hadi ukaenda kuyatoa!yy anachotaka ni kuoga mara moja kwa cku!sasa akioga asubuhi anavoenda kzn ndo bac akirudi haogi
nifanyaje?je huo ni ugonjwa au tatizo?


Pamoja na kwamba hilo halikubaliki popote bado I hope hampo Dar es Salaam! Labda awe Arusha, Iringa , Mbeya lakini bado sio justification hata kidogo.
 
Back
Top Bottom