babamwenyenyumba
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,163
- 5,971
naombeni msada wapendwa memory card yangu ya simu yangu inaniambia ni format but kila nikijalibu kuformat haitaki nikiweka kwenye computer inafunguka na kuonyesha mafail but nikiformat pia kwa computer inakataa pia nikajaribu kudelete folder zote but nikiweka kwenye simu nayakuta kama yalivyo yaani kama mazingaombwe vile nisaidieni niformatije ???