mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,642
​ni vyema ukaenda kupima na ukimwi pia ili kujua afya zaidiMkuu Kuanzia Sasa Hilo Nalizingatia Na Hata Wadau Nimewashauri Hivo Tubadiri Tabia Zetu.Ikiwemo Na Wewe Hii Inakuhusu
​ni vyema ukaenda kupima na ukimwi pia ili kujua afya zaidiMkuu Kuanzia Sasa Hilo Nalizingatia Na Hata Wadau Nimewashauri Hivo Tubadiri Tabia Zetu.Ikiwemo Na Wewe Hii Inakuhusu
Story yako nzuri, lakini ukigonga demu mwenye gono majibu unayapata asubuhi yake tu, wala hausubiri akupigie. Tumia condom bob, ni hatari utakufa. Mimi nilikuwaga natembea na dem moja, tulipozoweana nikawa nagonga kavu, baadaye yule demu akaenda kupima akaonekana yuko chanya, kwa uzuri kabisaa akaniita akanieleza na kunishauri na mimi nikapime....mwanaume jasho la ulimi lilitoka, baadaye nikapata nguvu nikapima nikakuta negative, sikuamini nikarejea kupima sehemu mbalimbali mara kibao....sasa hivi nimekoma ndugu yangu sigongi bila condom kamwe! tena nimehamia kwa madokta na manesi maana full kutembea na vipimo kwenye mkoba haumgongi bila kupima!
Nyie si panya, kila tundu mnaingia pole.
tumia condom nyama ndii tamu sana
Kutumia condom inataka moyo lakini!
Wewe Unazingatia Lkn?.Kulamba Pipi Na Ganda Lake Yatak Moyo.
nazingatia pipi na ganda itatoa ladha pole pole
Rx Azithromycin 500 mg orally twice for 7 days &Doxycycline 100 mg orally twice a day for 7 days -for acute gonorrhea
Hebu nisimulie.......eti kapata gono......?........gono bado ipo karne hii.........?
Ntashukuru Sana Mkuu Eve Kwa Maombi Na Ukemee Kweli.Ila Hiyo Ngoma Husipende Kuitajataja Sana.Si Unajua Kua Mdomo Unaumba??!
Preta lipo sana, hata syphilis bado ipo