The secretary
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 4,149
- 2,536
nimekuwa nikisumbuliwa na kichwa upande wa kushoto ikiandamana na maumivu kidogo ya meno ya upande wa juu lakini hayajatoboka wala hayajalegea kwa ujumla nayatunza sana meno yangu vilevile na jicho la upande huohuo misuri ya jicho inakuwa inabana maumivu haya hata nikinywa panado hayaponi. tatizo la macho ninalo muda mrefu na nimeacha kutumia miwani takribani miaka saba. kichwa kuuma inatokana na macho au meno?na nini tiba yake?