Mwendabure
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,138
- 1,040
Hao ndo Wabongo tulivyo! Wachina wanatujua vema kulivyo tunavyojijua. Wachina wanachakachua tu bidhaa za makampuni yenye majina makubwa tu mfano..nokia, sony, hitachi, LG, samsung nk.. Ni ugonjwa unaohitaji tiba ya muda mrefu. Ni maoni yangu binafsi japo si mdau wa usafirishaji.