babu M
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 5,221
- 3,167
Watu wengi wanaojishungulisha na biashara za Transportation ambao ninawajua wanatumia malori aina ya Scania.Nimejaribu kuwauliza kwa nini wanatumia Scania na sio Volvo ambayo ni bei raisi ikilinganisha na Scania, Wameshindwa kunipa majibu ya kuridhisha.
Kama sijakosea Volvo ni kati ya kampuni inayoongoza kwa kuuza trucks dunia,kwa mantiki hiyo itakuwa aina tatizo lolote kubwa.
Kuna mtu yoyote anaelewa sababu ni nini anijuze?
Kama sijakosea Volvo ni kati ya kampuni inayoongoza kwa kuuza trucks dunia,kwa mantiki hiyo itakuwa aina tatizo lolote kubwa.
Kuna mtu yoyote anaelewa sababu ni nini anijuze?