fabinyo
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 2,991
- 2,109
.....nahisi kunatatizo ila huyo mke nae amefanya nini kuhusu hilo,ameongea na mwenziwe?ndugu zake?au nae alikuwa atafuta sababu ya kumwacha maana naona anakimbilia hilo tu wakati yupo ndani ya ndoa miaka 11!!!sio kirahisi kiasi hicho,bado kuna nafasi ya kutatua hilo yeye mwenyewe..!!mpe hizi salamu zangu mjomba