Peter_John
Member
- Sep 12, 2022
- 50
- 86
Habari Wana JF , Kuna mtoto hapa wa ndugu yangu umri wake ni miezi kama kumi hivi au zaid ila hajafikisha mwaka mmoja , ni mtoto wa kiume ila anatatizo sehemu zake za Siri muda mwingine zina sinyaa na kua ndogo ndogo yaani ndogo sana na Hadi wakati mwingine zinapotea kabisa yani huoni kitu , kwa ane fahamu shida hapo itakua ni nini na tunaanzia wapi, kitu ambacho nahisi labda ni kwa sababu alitahiriwa akiwa mdogo sana , alitahiriwa akiwa na siku 40 tangu azaliwe , hatujui tuanzie wapi kwa anae fahamu tiba yake atusaidie jamani