gamaweshi belo
JF-Expert Member
- Nov 25, 2012
- 453
- 173
kichwa cha habari kinajieleza wadau nilifanya factory data reset nikajikuta nimefuta vitu vyangu vya muhimu kama picha videos na mafaili mengine, tafadhali naomba mnisadie ni apps zipi nitumie kurudisha data zilizofutika bila kuroot simu yangu