BPM
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,760
- 573
- Thread starter
- #41
Huwa wanasema mtoto umleavyo ndivyo akuavyo...................kaka hapa anavuna alichokipanda unakuta wakati alivyokuwa na Kazi alikuwa ni wa kumtoa wife out na pombe kwa sana kama vile wapo kwenye uboyfriend na Ugirlfriend wakati wao tayari ni wanandoa............Mama kaamua kubaki kwenye starehe....Jamaa atafute kazi na apeleke mtoto kwa Bibi yake akalelewe huko na arudi aendeleze ligi na mke wake wote ni watu wa Sterehe.Miaka miwili ya ndoa mnakunywa na kustarehe mpaka usiku ndoa gani hiyo.
jamaa anavyodai yeye suala la ulevi kipindi hicho halikuwa la kipaumbele yeye akipata weekend anatoka na wife kama kawaida na sometime wife akiwa anatoka kazini atamwambia wajkutane wapi walau wapate moja ... but nowdays mwanamke hawezi kumwalika mwanaume naamini anaona ni mzigo au kwa vile hana ya kulipia bili