Anselm
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 1,710
- 291
Kama kuna kitu kimeniuma ni matokeo waliyovuna Yanga katika mechi ya leo dhidi ya Simba,hivi kweli huyu anayeitwa Loyd Nchunga huko alipo anajisikiaje baada ya timu chini ya uongozi wake kutia aibu ambayo mara ya mwisho ilitokea miongo mi'3 na ushehe nyuma(miaka ya 70) siyo siri nina hasira naye kubwa sana kama kuna mtu anapafahamu kwake anielekeze jamani niende angalau nikapige jiwe 1 ya madirisha ya nyumba yake labda hasira yangu itapungua kidogo,hawezi kututia aibu ya namna hii,