mahunduhamza
Member
- Aug 25, 2021
- 19
- 46
hili suala kisheria likoje kwa mama mjane na watoto zake kugawna mirathi ambayo mume wake amefariki. kisheria hili suala likoje na lina fanywaje katika masuala mazima ya mgawo,mfano mume alikua na wake wawili na kila mke ana watoto wa 2.
Mke wakwanza aliachika nataratibu za kugawana naye zimekwisha pita tangia muda saan,sas je kwa huyu mke na watto waliobakia mgawoo utakuaje
Mke wakwanza aliachika nataratibu za kugawana naye zimekwisha pita tangia muda saan,sas je kwa huyu mke na watto waliobakia mgawoo utakuaje